Mkurungezi mkuu wa kampuni hiyo James Mworia amesema imepata faida ya shilingi bilioni 4.12 kutokana na kuongezeka kwa mtaji wake na kupanda kwa bei za ardhi inazomiliki.
Uwekezaji wake na mapato mengine zilikuwa kwa asilimia 72 na kufikia shilingi bilioni 9.8 kutoka bilioni 5.7 mwaka jana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |