Bingwa wa mbio za kilomita 42 za Singapore mwaka 2016, Felix Kirwa ni mwanariadha wa hivi karibuni kutoka Kenya, amefungiwa kwa miezi tisa kushiriki mashindano ya riadha kutokana na utumiaji wa dawa za kusisimua misuli iliyopigwa marufuku michezoni iitwayo Strychnine.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |