jana, taifa stars imecheza mchezo wake wa kwanza wa kujipima nguvu tayari kwa maandalizi ya mwisho ya michuano ya AFCON dhidi ya wenyeji Misri na kukubali kipigo cha goli 1-0. Goli la Misri lilifungwa dakika ya 64 na Mohamady.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |