Nyari aliyasema hayo jana wakati wa uzinduzi wa soko la madini la kimataifa la Arusha.
Aidha alitaja wanunuzi wakubwa wa vito vikiwamo Tanzanite kuwa ni pamoja na Marekani,Ujerumani,China na Hongkong.
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo,aliiomba Wizara ya Madini kuuruhusu mkoa huo kuendelea kufanya maonyesho ya madini ya kimataifa kutokana na kuwa kitovu cha biashara nchini Tanzania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |