Balozi Wu, ambaye alikutana na wawakilishi wa sekta binafsi za Kichina katika ubalozi Nairobi, aliwakumbusha juu ya haja ya kuzingatia uwekezaji waliosajiliwa kufanya katika mashirika makubwa.
Uhusiano kati ya Kenya na China umeongezeka katika miaka ya hivi karibuni, na uwekezaji mkubwa na msaada wa kifedha kwa ajili ya maendeleo ya miundombinu katika maeneo mbalimbali ya nchi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |