Kipa wa Brazil, Alisson alipangua penalti ya Paraguay ya kwanza kutoka kwa Gustavo Gomez uwanjani Gremio Arena. Brazil ilionyesha dalili ya kufanya vyema kipenga cha kuanza cha mechi kilipopulizwa, ikipigiana pasi muruwa katika dakika ya nne.
Wenyeji Brazil sasa watakutana na mahasimu wao wa jadi Argentina katika nusu fainali itakayosakatwa Julai 3 mjini Belo Horizonte.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |