Vurugu hizo zilizosababisha mchezo huo kusimama kwa zaidi ya dakika tatu, zilitokana na baadhi ya wachezaji hao wa Misri kutaka kuchukua viti ambavyo vilikuwa kwenye benchi la timu ya Taifa ya Tanzania.
Baada ya dakika chache kupita, vurugu zilisimama na kila mmoja kurudi nafasi yake, kisha wachezaji wa Misri wakatengewa viti vyao na kuendelea kufuatilia mchezo huo, ambapo hadi mchezo unamalizika Tanzania ilipoteza kwa pointi 112-74 dhidi ya Kenya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |