Wakati huo huo Mjapani Naomi Osaka ambaye alikuwa mchezaji nambari moja duniani upande wa kina dada amesema akili yake kwa sasa iko huru kutokana na shinikizo la kuitetea nafasi yake kama mchezaji nambari moja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |