Leo ni zamu ya Uholanzi kupimana ubabe na Uswidi katika mchezo wa nusu fainali nyingine.
Uingereza ambao wanashika nafasi ya tatu duniani hawajawahi kufanikiwa kupita hatua ya nne bora misimu minne iliyopita ya fainali za kuwania ubingwa wa kombe la dunia.
Kwa upande wa Marekani, ambao ni mabingwa mara tatu wa Kombe la dunia wanajivunia rekodi bora zaidi dhidi ya Uingereza. Miamba hao wa soka wamepoteza mechi moja pekee kati ya tano zilizopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |