Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom nchini Kenya imesema kuwa maduka yake yatafungwa kwa manaa 4 alhamis ili kuwapa muda wafanyakazi wake kutoa heshima zao kwa aliyekuwa mkurungezi wake Bob Collymore, aliyefariki jumatatu.
Wakati wa kipindi hicho cha kati ya saa 10.30 hadi 2.30 kampuni hiyo itandaa hafla ya makumbusho mjini Nairobi.
Tayari Safaricom imemteua aliyekuwa mkuu wake wa zamani Michael Joseph kuwa kaimu afisa mkuu mtendaji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |