Ajib anaungana na kipa Ben Kakolanya aliyetokea Yanga na kujiunga na klabu hiyo ya Msimbazi ambao ni mabingwa wa Tanzania bara. Kwa upande wa Yanga wao, wamepata saini ya kipa Farouk Shikalo toka nchini Kenya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |