Mara baada ya mchezo huo kumalizika, Messi amewatolea uvivu waamuzi pamoja na msimamizi wa mchezo huo kwa kuwaambia walishindwa kuchezesha mchezo huo na kuwapendelea zaidi Brazil.
Messi amesema kuwa timu yake ilikuwa bora uwanjani muda wote lakini waamuzi walifanya maamuzi ya ajabu yaliyopelekea Argentina kufungwa. Leo Chile wanakutana na Peru.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |