• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Waziri Mpango asema taasisi zisizofanya kazi masaa 24 katika bandari ya Dar es Salaam zakwamisha kupitisha na kutoa mizigo katika bandari hiyo

    (GMT+08:00) 2019-07-04 19:14:24
    Mrundikano wa malori ya mizigo katika bandari ya Dar es Salaam unasababishwa na baadhi ya taasisi zinazofanya kazi na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ambazo hazijaanza kufanya kazi kwa masaa 24 kama ilivyoelezwa.

    Hayo yalisemwa jana na Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano ,Isaac Kamwelwe,jijini Dar es Salaam ,akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano wake wachimbaji wakubwa wa madini duniani na wafanyabiashara waliokutana kwa lengo la kujadili changamoto zinazokwamisha kupitisha mizigo katika bandari ya Dar es Salaam kwa asilimia 100 na kiwango cha utoaji mizigo ni asilimia 25 hadi 40.

    Kamwelwe alisema ili kumaliza changamoto hiyo,ameshamwandikia barua Waziri wa Fedha na Mipango,Dk Philip Mpango ,ili watumishi wa wizara hiyo wafanye kazi katika bandari hiyo yenye jengo linaloweza kutoshea watumishi wa idara zote.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako