Vijana wa kocha Marco Silva walitembelea eneo hili mara ya kwanza katika historia yao miaka miwili iliyopita walipovaana na Gor Mahia na kuilaza 2-1 kupitia mabao ya mshambuliaji Wayne Rooney na kiungo Kieran Dowell jijini Dar es Salaam nchini Tanzania mnamo Julai 13, 2017.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |