Nyota wa Tanzania, Baraka Athman ni miongoni mwa wachezaji waliizoa tuzo ya ufungaji bora katika mashindano hayo.
Mbali na tuzo ya mfungaji bora, pia Tanzania imetwaa tuzo ya timu iliyoonyesha mchezo wa kiungwana yaani fair play. Tuzo ya mchezaji bora imeenda kwa Brandon Davies wa Uganda na kinara wa MVP wa mashindano hayo ni Tyler Ongwae wa Kenya.
Kenya imetwaa ubingwa ikimtoa bingwa mtetezi Misri aliyeambulia nafasi ya pili na Uganda kukamata nafasi ya tatu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |