• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • TENISI: Mashindano ya Tenisi ya Wimbledon 2019- Nadal amfunga Kyrgios, Murray na Herbert wafanya kweli, Serena aendeleza ubabe

    (GMT+08:00) 2019-07-05 09:55:31

    Michuano ya tenisi (Wimbledon 2019) imeendelea kwa Rafael Nada kupata ushindi wa seti 6-3, 3-6, 7-6 dhidi ya Nick Kyrgios.

    Naye Andy Murray amerejea vyema katika ulingo wa tenisi akiwa na mchezaji mwenzake raia wa Ufaransa Pierre Hugues Herbert wamepata ushindi wa seti 4-6, 6-1, 6-4, 6-0 dhidi ya Marius Copil na mwenzake Ugo Humbert, kwa kwa upande wa wanawake, bingwa wa tenisi Serena Williams amemshinda Kaja Juvan kwa jumla ya seti 2-6, 6-2, 6-4.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako