Shirika la habari la Palestina WAFA limeripoti kuwa, Mamlaka ya nchi hiyo imesisitiza kuwa, itatekeleza ahadi yake kuhusu mchakato wa amani ya Mashariki ya Kati kwa sharti la kuwa serikali ya Marekani itarejesha mawasiliano na nchi hiyo.
Msemaji wa rais wa Palestina Bw. Nabil Abu Rdeineh amesema, wapalestina hawajakataa mazungumzo au makubaliano kuhusu amani kati ya Palestina na Israeli.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |