Amesema mradi huo utasaidia wakazi wa Kisarawe na viunga vyake kupata maji na kutoa nafasi kwa wawekezaji waje kuwekeza kwa wingi kwa sabababu Kisarawe inaendelea kukua kwa kasi hasa kwa sababu inapata maji ya uhakika .
Mwegelo alisema wawekezaji katika wilaya hiyo wanakabiliwa na changamoto za kukosa maji na umeme na hivyo mradi huo utakapokamilika utaongeza idadi ya wawekezaji wa sekta ya viwanda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |