Makundi makubwa ya mashabiki wa Arsenal yameungana na kutoa taarifa hiyo kwa tajiri huyo raia wa Marekani. Arsenal inajiandaa kushiriki michuano ya EUROPA kwa mara ya tatu mfuluilizo baada ya kushindwa kumaliza msimu uliopita wa ligi kuu ya Uingereza katika nafasi ya nne. Hadi sasa klabu hiyo toka kaskazini mwa jiji la London imenunua mchezaji mmoja tu ambaye ni kinda Mbrazili Gabriel Matinelli akiwa ni mchezaji pekee mpya katika kikosi cha Unai Emery.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |