Fainali hiyo inatajwa kuwa na msisimko wa kipekee kutokana na timu zote mbili kuhitaji kuwa mabingwa wa michuano hii mikubwa.
Algeria na Senegal wote walikuwa kundi C ambapo walipokutana kwenye hatua ya makundi, Algeria waliibuka na ushindi wa bao 1-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |