• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Nchi za kusini mwa jangwa la Sahara zaongoza kwa matumizi ya simu za mkononi

    (GMT+08:00) 2019-07-19 07:50:24
    Nchi zilizoko kusini mwa jangwa la sahara ndio zinazoongoza kwa matumizi ya simu za mkononi katika ukanda wa Afrika huku ikiakdiriwa kuwa mamilioni ya vijana katika miaka ijayo watakuwa watumizi wa simu za mkononi.

    Hii ni kulingana na utafiti wa GSMA.

    Utafiti huo umebaini kuwa watumizi wapya wa simu za mkononi milioni 160 watajumuishwa katika ukanda wa nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara kufikia mwaka 2025,na kufanya jumla ya watumizi kufika milioni 623,ikiwa ni nusu ya idadi ya watu katika ukanda huo,kutoka watu milioni 456 mwaka 2018.

    Aidha utafiti huo unaonyesha kuwa ongezeko hilo la watumizi hasa litachangiwa na watu kutoka Nigeria na Ethiopia.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako