Wizara ya habari ya Iran leo imetangaza kuwa imevunja mtandao wa kijasusi nchini humo uliohudumia idara ya CIA ya Marekani. Habari zinasema watu 17 wanaohusika na mtandao huo wamekamatwa, baadhi yao wamepewa hukumu ya kifo, lakini haikutaja wale waliokamatwa.
Wapelelezi waliotambuliwa waliajiriwa katika sekta muhimu za uchumi, nyuklia, miundo mbinu na mtandao ambapo walikusanya habari za siri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |