Mzunguko wa tatu DRC iliongoza kwa vikapu 29 kwa 10 kabla ya DRC kuongoza mzunguko wa nne kwa vikapu 17 kwa 14. Maxi Shamba wa DRC alifunga vikapu 20 na kufanikisha Rebound saba. Naye Tylor Ongwae wa Kenya alifunga vikapu 21 katika mchezo huo.
Angola imemaliza ya tatu katika mashindano hayo kwa kuishinda Morocco kwa vikapu 88 kwa 71. Mashindano hayo yalishirikisha timu 12 huku Afrika Mashariki ikiwakilishwa na Kenya pekee.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |