Mholanzi huyu kwa sasa anapigiwa upatu wa kunyanyua taji la Ballon d'Or ambalo mhezaji bora zaidi duniani hutangazwa Disemba ya kila mwaka baada ya wawaniaji kuorodheshwa mwezi Oktoba.
Wachezaji wanne kati ya sita wanaopigiwa upatu wa kunyakua taji hilo ni Lionel Messi, Cristiano Ronaldo, Mohamed Salah, Sadio Mane na kipa Alisson Becker.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |