Elly Sasii atasimama kati kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa kati ya Aigle Noir ya Burundi dhidi ya Gor Mahia ya Kenya mchezo utakaopigwa uwanja wa Prince Louis Rwegasore Burundi Agosti 11 mwaka huu.
Naye Khadil Abdallah ameteuliwa kuwa kamishna wa mchezo wa kombe la shirikisho kati ya Proline FC ya Uganda na Master Security Service ya Malawi utakaochezwa uwanja wa Kampala Star Times Uganda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |