Mfungaji bora wa michuano hiyo, Tylor Okari alifichua kuwa wamejifunza mengi kutoka kwa mashindano hayo na watafanya vyema zaidi wakipatana na DR Congo tena ambayo ndiyo timu pekee ilitwaa ushindi dhidi ya Kenya nchini Mali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |