Timu za Afrika mashariki zinaalikwa kama wageni kwenye michuano hiyo, kutoka Tanzania, Kikosi cha timu ya taifa ya wanawake chini ya miaka 20 (Tanzanite) kimekwea pipa mapema jana kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki kwenye michuano hiyo.
Michuano hiyo itamalizika Agosti 11 mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |