Kwenye mahojiano na gazeti la Taifa Leo la nchini humo, Oktay amefafanua kwamba hajaacha kazi ya kuwanoa mabingwa hao watetezi wa ligi kuu ya Kenya (KPL) ila aliomba ruhusa kurejea kwao kushughulikia masuala binafsi ya kifamilia kisha atarejea Jumapili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |