• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Kombe la AUDI- Madrid yafanya mauaji, Spurs yavutwa shati

    (GMT+08:00) 2019-08-01 08:02:58
    Michuano ya kombe la Audi imeendelea katika jiji la Munich Ujerumani, Real Madrid baada ya kupokea kichapo cha goli 1-0 toka kwa Tottenham Hotspurs, imeweza kurekebisha makosa na kufanya mauaji baada ya kuichapa Fenerbahce kwa jumla ya magoli 5-3.

    Nao Tottenham Hotspurs baada ya ushindi wake wa goli 1-0 dhidi ya Real Madrid, jana imepunguzwa kasi kwa kulazimishwa sare ya 2-2 na Bayern Munich.

    Hivyo Bayern sasa watacheza mechi ya fainali na Tottenham Hotspurs.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako