• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • KIKAPU: Michuano ya mpira wa kikapu ya Afrika U-16 yaendelea Rwanda

    (GMT+08:00) 2019-08-02 07:54:34
    Timu ya taifa ya mpira wa kikapu ya wanawake chini ya miaka 16 ya Uganda Gazelles italazimika kushinda mchezo wake wa pili baada ya kukubali kipigo toka kwa Mali cha vikapu 108-32 kwenye mchezo wao wa kwanza wa ufunguzi wa michuano ya kikapu ya ubingwa wa Afrika inayoendelea kwenye uwanja wa Amahoro mjini Kigali Rwanda.

    Baada ya kipigo hicho, kocha wa Uganda, Rogers Serunyigo amesema Mali ni timu bora na yenye ushindani, inawalazimu kujiandaa kikamilifu kuweza kushinda mchezo unaofuata.

    Michuano hiyo inashirikisha timu za Rwanda, Angola, Tanzania na Msumbiji katika kundi A, Kundi B lina timu za Mali, Misri, Uganda na Afrika Kusini.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako