Wilder raia wa Jamaika alirejesha majibu ya vipimo vya afya yanayoonyesha anatumia dawa za kuongeza nguvu michezoni siku tatu kabla ya pambano lake na Oscar Rivas wa Colombia katika ukumbi wa O2 Arena jijini London, lakini aliruhusiwa kupambana baada ya kuhudhuria mahojiano na jopo huru.
Kutokana na matokeo hayo, na kutegemea matokeo ya uchunguzi wa WBC na mchakato wa kisheria, WBC imesimamisha kwa muda kumtambua Dillian Whyte kuwa bingwa wa muda wa WBC wa ngumi za uzito wa juu na bondia anayestahili kupambana na bondia anayewania uzito huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |