Madereva wengine waliowasili kushiriki ni kutoka Tanzania dereva Dharam Pandya atakayetumia gari aina ya Subaru Impreza pamoja na Dkt Gurvinder Bala, Charlie Lubega kutoka Kenya, Willie de Plessis toka Afrika Kusini na Leroy Gomes wa Zambia na mwenyeji Mafu mafu Lwakataka.
Mashindano hayo yatakuwa ya mizunguko mitano, yakianzia mjini Busiika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |