Rais Vladimir Putin wa Russia amesema nchi yake itaanza kutengeneza makombora yake yaliyopigwa marufuku na Mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF) kama Marekani ikianza kufanya hivyo.
Wakati huohuo rais Putin pia amesema Russia haitacha kutekeleza wajibu wake wa upande mmoja, na hatua zake zote zitalingana na hatua za upande mwingine.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |