Naibu mkurugenzi wa idara ya fedha za kigeni ya Wizara ya biashara ya China Bw. Zhu Bing amesema kuwa miezi saba iliyopita matumizi ya fedha za kigeni yameongezeka kwa utulivu, na sekta za utengenezaji na utoaji wa huduma za teknolojia ya hali ya juu zimeongeza kwa kasi.
Bw. Zhu ameongeza kuwa kutokana na hamu kubwa ya kuvutia uwekezaji nchini China, uwekezaji wa fedha za kigeni wa Umoja wa Ulaya umeongeza na kuwa asilimia 18.3 , na uwekezaji wa Ujerumani nchini China umeongeza na kuwa asilimia 72.4, aidha ongezeko la uwekezaji wa Korea Kusini na Japani nchini China limekuwa asilimia 69.7 na asilimia 72.4.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |