Wadau kwenye sekta hiyo wanasema ni muhimu serikali kuwa na kituo maalumu cha kukusanyia asali zao kwa ajili ya kuiuza kwa wafanyabiashara ili kuondokana na tabia ya baadhi wanaochakachua bidhaa hiyo.
Wanasema hivi sasa ni vigumu kupata asali inayofanana kwa sababu kila mmoja anakusanya asali kivyake na kuileta sokoni jambo ambalo sio rahisi kuwabaini wanaochakachua.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |