• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Vurugu zilizotokea katika uwanja wa ndege wa Hong Kong zalainiwa

    (GMT+08:00) 2019-08-14 19:25:51

    Msemaji wa ofisi ya Hong Kong na Macao ya baraza la serikali la China Bi. Xu Luying amekasirishwa na kulaani vikali vitendo vya wahuni kuwapiga waandishi wa habari na watalii wa China bara kwenye uwanja wa ndege wa Hong Kong na kuunga mkono polisi wa Hong Kong kuwakamata wahuni hao kwa mujibu wa sheria.

    Nayo Ofisi ya serikali kuu katika mkoa wa utawala maalumu wa Hong Kong imetoa taarifa ikilaani vikali vurugu zilizofanywa na wahuni ikiwemo kuwapiga watu wawili wa China bara na kuwakamata, na kusisitiza kuwa siku zote ofisi hiyo inasaidia wahusika kuhakikisha usalama na maslahi ya watu wa China bara katika Hong Kong, na kuunga mkono polisi wa Hong Kong kuwakamata wahalifu hao mapema iwezekanavyo kwa mujibu sheria.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako