Habari nyingine ni kuwa, kocha wa Man City Pep Guardiola amefafanua tukio lililotokea kati yake na mshambuliaji wake Sergio Aguero alipomtoa na kumuingiza Gabriel Jesus katika mechi dhidi ya Spurs.
Pep amesema hana chuki na mchezaji yeyote, aliona anatakiwa kufanya mabadiliko na kuamua kumtoa Aguero na si vinginevyo ambavyo baadhi ya watu wameanza kutafsiri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |