Wachezaji watakaochaguliwa kuunda timu hiyo ya taifa inayokabiliwa na michuano ya riadha ya dunia itakayofanyika Septemba 27 hadi Oktoba 6 mwaka huu jijini Doha Qatar.
Mashindani hayo yanajumuisha mbio za mita 10,000 pekee ambazo ndizo zitakuwa katika michuano ya kufuzu kuelekea Doha, ambapo muda wa kufuzu kwa wanariadha wanaume ni 27:40:00 na wanariadha wanawake ni dakika 31:50:00
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |