Naye kaimu katibu mkuu wa klabu hiyo Dismas Ten amesema, Yanga itaondoka kesho kwenda Botswana kucheza mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Township Rollers huku ikiwakosa wachezaji wake watatu wa kimataifa ambao hawajapata leseni toka shirikisho la soka Afrika (CAF).
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |