Mchuano mkali ulikuwa baina ya madereva watatu Jonas Kansime akiwa na gari aina ya Evo III, Rajiv Ruparelia akiwa na gari aina ya VW Proto, huku Ronald Ssebuguzi akitumia gari aina ya Evo X.
Rajiv Ruparelia ameibuka mshindi wa mashindano hayo yaliyopita pembezoni mwa mlima Elgon, Jonas Kinsime ameibuka mshindi wa pili huku Christakis Fitidis akikamata nafasi ya tatu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |