Simba, Azam na KMC zitakuwa viwanja vya nyumbani wakati Yanga, Malindi na KMKM zitakuwa ugenini. Simba itarudiana na UD Songo ya Msumbiji katika ligi ya mabingwa huku KMC itaumana na AS Kigali kwenye kombe la shirikisho.
Yanga wao wamewafuata Township Rollers ya Botswana, nayo Azam watakutana na Fasil Kenema ya Ethiopia. KMKM itarudiana na Agosto ya Angola na Malindi watavaana na Mogadishu City ya Somalia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |