Man United walikuwa wa kwanza kuona lango la wapinzani wao dakika ya 27 kupitia kwa Anthony Martial lakini Wolves walichomoa dakika ya 55 kupitia kwa Ruben Neves na kuzamisha ndoto za Man U za kushika usukani wa ligi hiyo kwa tofauti ya magoli.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |