Mwenyekiti wa klabu hiyo amesema, wamepokea taarifa za kifo cha mchezaji huyo kwa mshtuko na wataisaidia familia yake. Bruce awali alikuwa akiichezea klabu ya Amewur ya Dewsbury Moor mjini West Yorkshire, alicheza kwa mara ya kwanza katika timu hiyo baada ya kukaa nje kwa muda huku akiipatia ushindi wa miguso 46-0 mwishoni mwa wikiendi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |