Owala ameshinda taji hilo linalosimamiwa na shirikisho la Kimataifa la kutunisha misuli (IFBB). Naye waziri wa michezo, Sanaa na utamaduni wa Kenya Balozi Amina Mohamed amempongeza mtunisha misuli huyo na kuwataka wanawake kutojiweka nyuma nyuma na kuchagua michezo kwa vigezo kuwa wao ni wanawake kuna michezo ya wanaume.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |