Kiungo huyo wa pembeni msimu huu ametua kwa wekundu wa Msimbazi Simba, kanda amesema kucheza kwake ligi za mataifa tofautitofauti ni silaha kwake ambayo inamfanya aamini anaweza kuvaa viatu vya Emmanuel Okwi aliyeachana na klabu hiyo na sasa kuchezea Al Ittihad ya Misri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |