Ugunguzi wa mashindano hayo ulifanyika juzi na kuhudhuriwa na mwanamama Nawal El Moutawakel aliyekuwa mwanariadha wa kwanza mwanamke kutoka Afrika kushinda medali ya dhahabu ya Olimpiki katika mbio za mita 400 kuruka viunzi katika mashindano ya Olimpiki yam waka 1984.
Naye mwanariadha wa zamani wa Kenya ambaye sasa ni afisa wa kamati ya Olimpiki ya Afrika Tegla Loroupe amesema mashindano ya All Africa Games ni kigezo cha wanariadha kujipima uwezo wao kushiriki mashindano ya Olimpiki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |