Afia mtendaji mkuu wa KPL, Jack Oguda alitangaza kwamba huenda msimu huu wa ligi ulioratibiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu Agosti 31, utashindwa kuanza baada ya hatua hiyo ya Sportpesa kunyimwa leseni ya kufanya biashara nchini Kenya.
Sportpesa walikuwa wadhamini wa ligi hiyo, na walikuwa wakitoa kiasi cha shilingi 90 milioni kila mwaka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |