Dennis ambaye ni mwanafunzi wa shule ya St. Felix ya Uingereza, alifanya vyema kwenye mashindano ya mita 100 katika mtindo wa backstroke kwa kutumia muda wa 1.04.27 na kuwashinda wenzake toka Pakistan, Madagascar na Sudan.
Mara baada ya shindano hilo Dennis amesema, amefurahi kushinda na kuwakilisha vyema Tanzania kwenye mashindano hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |