Rais wa China Xi Jinping amesisitiza juhudi za kuendelea kutokomeza umasikini, kuhimiza maendeleo ya hali ya juu, kuimarisha ulinzi wa mazingira na kuhakikisha na kuboresha maisha ya watu.
Xi, ambaye pia ni katibu mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China ameyasema hayo kwenye ziara yake ya ukaguzi iliyoanzia Jumatatu na kukamilika leo mkoani Gansu, kaskanini magharibi mwa China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |