Katika kombe la shirikisho, KMC imeshindwa kutumia vyema uwanja wake wa nyumbani na kukubali kupigwa 2-1 na kufungasha virago baada ya kupoteza mchezo dhidi ya AS Kigali ya Rwanda. Azam FC imekataa uteja kwa mara ya pili baada ya kuwachapa Fasil Kenema 3-2.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |